We know that the media is required to be decent. fine! we know and appreciate that No one is supposed to take law at hand. okey. The man in the picture is alleged to rape a young girl at chemchem area in Tabora. What you see is a mob justice. By any defination he does not deserve a sorry. picture by Juma Kapipi Blog.
Huyu ni Mbakaji hivyo hastahili pole kwa kichapo
kwa kawaida vyombo vya habari hutakiwa viwe visafi, yaani vitoe picha nzuri. Hili linaeleweka hivyo picha ya mtu huyu mwenye kuvuja damu inaweza isiwe safi. Tunafahamu kuwa haipaswi kwa watu kuchukua sheria mkononi, lakini kwa huyu jamaa pichani (picha kutoka blog ya Kapipi), huyu ni mbakaji tena anatuhumuiwa kumkaba binti maeneo ya chemchem tabora. Huyu hastahili kupewa pole, ni mbakaji.
Leave a Reply (Please be decent) Acha ujumbe wako hapa (kuwa mstaarabu)