Uyui: All the Best Class IV (P.4) On your Examination Day (Kila la Kheri Darasa la Nne)

Uyui: All the Best Class IV (P.4) On your Examination Day (Kila la Kheri Darasa la Nne)

WANAFUNZI wa darasa la nne nchini kote  leo wanafanya mtihani wao wa kumaliza darasa la nne. Mtihani huu ni wa kwanza wa kifaita kwa wanafunzi hao ambao baada ya miaka 3 watalazimika kufanya tena mtihani mwingine ili kuhitimu elimu ya msingi watakapofika darasa la saba(last year au LY)

Kwa wale waliosoma enzi za Ukoloni darasa la nne la wakati ule lilikuwa na hadhi yake kwa sababu ili kuendelea na masomo katika elimu ya kati (Middle School), mwanafunzi alilazimika kufaulu mtihani wa darasa la nne.

Sisi UYUI tunawatakia kila la kheri vijana wetu ambao leo hii wanaifikia hatua yako muhimu katika maisha ya elimu.

Uyui

A website about Uyui, Tabora heritages and the Wanyamwezi

Shahermohd's Blog

Just another WordPress.com site

WordPress.com

WordPress.com is the best place for your personal blog or business site.