Homage: Ethiopian PM Meles Zenawi Died at 57 Meles Zenawi Afariki Dunia


Ethiopian Prime Minister Meles Zenawi dies at the age of 57, state television announces. During his lifetime Meles Zenawi acquired an MBA (Master of Business Administration) from the Open University of the United Kingdom in 1995 and an MSc. (Masters of Science) in Economics from the Erasmus University of the Netherlands in 2004. In July 2002 Meles received an honorary doctoral degree in political science from the Hannam University in South Korea.

MELES ZENAWI AFARIKI
Waziri Mkuu wa Ethiopia Mhe Meles Zenawi, amefariki Dunia. Taarifa za kufariki kwake zimetangazwa na Msemaji wa Serikali na kuripotiwa na televisheni ya nchi hiyo.Wakati wa Uhai wake Meles alishapata shahada ya pili ya Uongozi wa Biashara kutoka chuo kikuu huria chini Uingereza mwaka 1995. Alitunukiwa pia shahada ya pili ya sayansi ya uchumi kutoka chuo kikuu cha Erasimu cha Uholanzi mwaka 2004. Mwezi Julai, 2002 alipata Shahada ya Udaktari wa Falsafa ya heshima katika sayansi ya siasa kutoka chuo cha Hannan cha nchini Korea ya Kusini.

Leave a Reply (Please be decent) Acha ujumbe wako hapa (kuwa mstaarabu)

Uyui

A website about Uyui, Tabora heritages and the Wanyamwezi

Shahermohd's Blog

Just another WordPress.com site

WordPress.com

WordPress.com is the best place for your personal blog or business site.