Kuna mtu amewakumbuka aliomaliza nao darasa la 7 mwaka 1978 (Miaka 39 iliyopita)


CHEMCHEM SHULE YA MSINGIDarasa la saba Chemchem 1978 (Miaka 39 iliyopita)

INAWEZA isiwe habari kubwa lakini kuna mtu amekumbuka orodha ya wanafunzi wenzake aliomaliza nao darasa la 7 mwaka 1978, takribani miaka 39 imepita sasa. Kitu ambacho Uyui imevutiwa nacho ni uwezo wa kuwakumbuka watu hao ambao kwa sasa ni watu wazima na wengine watakuwa pengine wamekwisha tangulia mbele ya haki. Kwa atakaona jina lake ajue amekumbukwa na anaweza kutuletea simulizi au kisa au habari yoyote ya masomo na shule yao (sio lazima iwe Chemchem) nasi tutaichapisha kwa haraka kwa kadiri inavyowezekana. pengine inaweza ikawa re-union, nani anayejua? muwe na jumapili njema.  Poleni pia kama orodha hii itawaboa wengine

  1. Mashaka Hassan Rajabu
  2. Mwajumbe Hassan Rajabu
  3. Tamasha Iddi Ludete
  4. Sokolo Selemani Madema
  5. Ali Mohammed (Mangi)
  6. Tatu Mohammed (Mangi)
  7. Mgeni Athumani
  8. Jampani Venus
  9. Mohammedi Msulunguti
  10. Saidi Sudi
  11. Rajabu Risasi
  12. Makusudi Akili Tumbo
  13. Moshi Hassani
  14. Omari Hassan Kanonkola
  15. Seligei Mutahiwa
  16. Kulwa Shabani Mambo
  17. Matulanya (Gombo) Makoye
  18. Mussa Iddi (Fibrosi)
  19. Mussa Iddi (Totoro)
  20. Nassoro Msenda
  21. Veronika ……..
  22.  Nkulanga Gohima
  23. Mariam Seif
  24. Hazina Seif
  25. Titi Mussa
  26. Mussa Kiongozi
  27. Bakari Sembogo
  28. Noah Daniel
  29. Mohammed Hassan Kaombwe
  30. Hamis Mohammed
  31. Mwanaisha Ahmed
  32. Msabila Iddi
  33. Said Kassimu
  34. Amadi Selemani
  35. Desderi …..
  36. Mbaya Hamisi
  37. Sadi Kitwana
  38. Mkiwa Rashidi
  39. Zaituni Haji
  40. Ali Rashid
  41. Amina Mrisho
  42. Mosi Jumanne
  43. Rehani Malingo
  44. Hamisa Msafiri
  45. Katawanya Rashidi
  46. Hussen Salumu
  47. Kabichi Nasri

Orodha ya Walimu Chemchem shule ya Msingi 1971-1978 (waliofundisha nyakati mbalimbali)

  1.  Mwl. Iddi Chaurembo
  2. Mwl. Richard Guliku
  3. Mwl Aborgasti Mkangara
  4. Mwl Jaafar Mgumia
  5. Mwl Tatu Salmini
  6. Mwl Zainabu Iddi
  7. Mwl Mwenda (Lady)
  8. Mwl Luleka
  9. Mwl FakhI
  10. Mwl Sarah (alifundisha BTP mwaka 1975) alifundisha darasa la 4 masomo mengine ikiwemo sanaa
  11. Mwl Selemani Saidi (Alipenda kusema …”… ajabu ya Mungu..” na wanafunzi wakawa wanamuita hivyo hivyo
  12. Mwl Ester Abubakar Alawi
  13. Mwl Njau

 

Leave a Reply (Please be decent) Acha ujumbe wako hapa (kuwa mstaarabu)

Uyui

A website about Uyui, Tabora heritages and the Wanyamwezi

Shahermohd's Blog

Just another WordPress.com site

WordPress.com

WordPress.com is the best place for your personal blog or business site.