Reuters) – A major earthquake of 7.4 magnitude hit in the Pacific Ocean about 78 miles (125 km) off the coast of El Salvador late Sunday night, the U.S. Geological Survey said. No destructive Pacific-wide tsunami is expected, and there is no tsunami threat to Hawaii, the Pacific Tsunami Warning Center said.The center said, however, that although it did not know if a tsunami had been generated, a warning was in effect for Costa Rica, Nicaragua, El Salvador, Honduras, Guatemala, Panama and Mexico.The earthquake struck 74 miles (120 km) south of Usulutan, El Salvador, at a depth of 33 miles, the Geological Survey said. There were no immediate reports of damage to coastal areas or to shipping.
TETEMEKO LA UKUBWA WA 7.4 LAPIGA MAILI 78 KUTOKA PWANI YA EL SALVADOR: HILI NI KUBWA ZAIDI
Shirika la Habari la Reuters limesema kubwa tetemeko kubwa la ukubwa wa vipimo vya 7.4 limeshambulia pwani ya Elsalvador umbali wa maili 78 (kiasi cha kilometa 120) kutoka ufukwe wa pwani ya El salvador, Kituo cha Geolojia cha USA kimesema. Hapajakuwa na taarifa zozote za madhara au uharibifu kwenye pwani au vyombo vya usafirishaji vya majini.